Ajira za IT, jinsi ya kuzipata 2023

 



CERTIFICATIONS  CERTIFICATIONS CERTIFICATIONS

Sijui niseme ni ubaya au uzuri Ukimaliza kusoma IT au computer science au computer engineering ndgu safari yankupata ajira itakuwa ngumu sana kwako unahitaji kwenda kusoma tena vyeti vya ujuzi maalumu ili uonekane umebobea wapi.

NI gharama ila ukitaka kazi haraka basi nenda kasome hivyo vyeti yaani utapata kazi haraka sana.


Cisco Certified Network Professional (CCNP)

The Cisco Certified Network Associate (CCNA) certification hii inatoa  specializations katika  security, wireless, routing and switching, industrial, IoT, data center, cyber operations, collaboration and cloud.

kama unataka kazi yeyote ya system administration kama huna hichi cheti sahau kupata kazi...nenda University of Dar es salaam computing centre wanatoa.

Oracle Certified MySQL Database Administrator (CMDBA)

kama unahitaji kuhudumia systems za database bado haswa katika kazi ya system administration unahitaji sana hichi cheti, na  ni kama dhahabu maana hakuna program inayo run bila database. 

Certified Information Systems Security Professional (CISSP)

Security sasa hivi ni issue moja kubwa sana kwa makampuni mengi maana wizi ni mwingi sana, unahitaji hichi cheti ili uwe vizuri katika kulinda systems za organization, na katika certifications za muhimu kabisa hichi ni bora uanze nacho.

Microsoft Certified Solutions Associate (MCSA)

Certifications hizi zinakusaidia kuweza kuoperate na ku maintain server infrastructure za office, Servers kama kompyuta nyingine huwa zinapata changamoto nyingi unaposomea haya mambo unakuwa fundi kabisa tena certified kabisa.

Certified Data Professional (CDP)

Ulimwengu unapoelekea sasa hivi unaendeshwa na data. Certfications kama hizi zintakuweka katika ramani ya makampuni ya mawasiliano, kamali yaani yote yanayodeal na big data.

Kwa maswali zaidi wasiliana nami kupitia elisanteshibanda@yahoo.com

1 comment:

  1. Naitaji kusoma degree ya computer Nina cheti Cha ufaulu mzuri Cha form four na cheti Cha form six lkn Akina ufaulu mzuri he naweza kusoma?

    ReplyDelete