Nafasi za Ajira/kazi mtandaoni-Freelancer, 2023



Ili uweze kufanya kazi mtandaoni unahitaji kuwa na ujuzi ambao mtu anaweza kuutumia ujuzi wako bila kuonana na wewe, na pia uwe na ujuzi wa lugha ya kiingereza vizuri ikiwezekana na lugha nyingine kubwa kama kifaransa.

Na hapo ndio unaona ujuzi wa IT huongoza katika hili lakini pia hata secretarial ila hizi kuna program nyingi ambazo zinafanya kazi zaidi ya secretary.

ujuzi au skills ambazo huhitajika mara kwa mara na watu haujiriwa  na kulipwa mtandaoni ni kama ziifuatazo:

Advanced microsoft office Skills( Excel, Word, Powerpoint, access)

Application development(Android, IOS, web applications)

Web design

Graphics Design( artworks, branding, video editing, adverts etc)

Mitandao inayotoa ajira hizi, inahitaji vitambulisho na sometimes ukitaka kuwa member basi utagharamia membership kama 10 dollars inategemea ila huwa ni bure, na katika kila malipo yako utakwatwa hela hapo.

Freelancer.com

upwork.com

Guru.com

na mingineyo ila hiyo ndio naona vijana wa Tanzania hapa hapa wanalipwa hela.

kwa ushauri wasiliana nasi kupitia rainstech.com live chats.

0 comments:

Post a Comment