Uharibifu unaoufanya wa battery ya laptop yako.

Battery hutumika kuendesha umeme ndani ya laptop yako endapo pale unapokuwa hujaichomeka kwenye charge laptop yako.


Uharibifu unaofanyika.
  1. Unapotumia laptop ikiwa imechomekwa kwenye umeme siku nzima bila kuichomoa pale battery inapojaa.
  2. Unaposafiri kwa muda mrefu au kiacha laptop bila kuitumia kwa muda mrefu, na kuiacha battery ya laptop ndani ya laptop bila kuitoa.
  3. Unaponunua adapter feki ili kuchaji battery ya laptop yako.
Ufumbuzi.
  • Laptop ikijaa charge chomoa kwenye umeme na ikiisha chomeka.
  • Ukiona unasumbuka na chomeka chomoa ya hapo juu, tafuta energy management software hiyo itakusadia.
  • Unaposafiri kwa muda mrefu zaidi ya siku moja au kupanga kuto kuitumia laptop yako kwa muda mrefu, chomoa battery ya laptop na uihifadhi mahali salama.
  • Tumia vifaa au adapter original vya laptop husika vyenye meno matatu(Earth,Live and Neutral).
  • Ukiona hali inakuwa mbaya omba msaada.


2 comments:

  1. Laptop yangu ukiwasha:1.ukiweka kwenye charge inachukua kama dakika tatu inazima kabisa, hata ukirudia kuwasha haiwaki tena. Tatizo ni nini?

    ReplyDelete