Ninachopenda kuhusu IT na fani hii kwa ujumla ni jinsi ilivyo na uwezo kumpa mtu yeyote fursa ya kufanikiwa na jinsi ilivyounganisha dunia nzima.
katika miaka ya karibuni Watu na makampuni mashuhuri makubwa yamekuwa yakija Africa na Asia na hata Ulaya pia kufanya mashindano ya kutafuta watu wenye mawazo makubwa yanayoweza kugeuka biashara kubwa na pia kutatua changamoto duniani, yote katika fani ya teknolojia.

Vigezo

  • Uwe na biashara/kampuni ya IT, yenye wazo zuri ambalo limeshaanza kufanya kazi, na maanisha kama una software uwe umshatengeneza atlleast linaonekana au kama ni tech nyingine basi umeshaanza ku operate na watu wameipokea ila hauna uwezo wa kukua kibiashara.

  • Usiwe peke yako tuu, kuanzia wawili au watatu(Tech IT, Business, Administration)

  • Uwe na uwezo mzuri wa kujieleza kiingereza kwa maaana utakutana na watu kutoka mataifa yote duniani.

  • Uwe na ujasiri wakusimama mbele za watu wengi na kutetea wazo lako.

  • Hakikisha wazo lako liwe kweli linatatua changamoto ambayo inaikabili jamii, iili watu wakimbilie kununua solution yako haraka.

Mashindano hayo ni kama yafuatayo, yabonyeze vichwa vyake vya habari kujua zaidi...

MEST AFRICA CHALLENGE



START UP WORLD CUP



NETPRENEUR PRIZE



PROPTECH INNOVATION AWARD







START PRIZE



START UP ENERGY TRANSITION AWARD


 
Watanzania waliowahi kushinda mashindano haya ni


Wengine tumeshiriki ila hatukufanikiwa (MEST AFRICA) safari bado inaendelea, ila kuna wengine wengi zaidi wameshinda ila sina taarifa zao kama wewe umeshawahi kushiriki naomba unitafute tuongeze maelezo zaidi ili wengi wapate mwanga zaidi.