Vigezo vya kusoma IT Tanzania, 2023

 


Ninavyozungumzia Information technology course najumuisha computer science, computer engineering, Software engineering etc.
Sasa zingatia vigezo vifuatavyo kwa ngazi tofauti.

CHETI


Utahitaji cheti cha form four (CSEE) chenye kuanzia pass 4 (Ukiondoa masomo ya dini)


au 
     

Utahitaji  cheti cha National vocational training award level 3.


au


Kwa kwenda kusoma business Informational technology unaweza ukapeleka hata National Business certificate stage 1 kikiwa na pass 2.




DIPLOMA

Utahitaji cheti cha advanced Certificate of Secondary Education(ACSE) ukiwa na principal pass 1 na subsidiary pass 1


au

Basic Technician Certificate (NTA Level 4) katika kozi za certificate in computer science, IT, Business IT, Computer Engineering na Electrical Engineering.


DEGREE

Utahitaji cheti cha advanced Certificate of Secondary Education(ACSE) ukiwa na principal pass 2 ambayo mojawapo lazima iwe Advanced Mathematics 

au 

ufaulu wa pass katika masomo yeyote mawili ya sayansi na Advanced Mathematics uwe na ufaulu wa subsidiary pass.

au 

Uwe na ufaulu wa GPA zaidi ya 3.0 katika ngazi ya Diploma.


Kwa maelezo zaidi wasiliana na uongozi wa vyuo vinavyotoa IT kwa kutembelea tovuti zao. Kila la kheri.

Kwa Taarifa, Maswali, fursa mbali mbali za IT hapa Tanzania na Africa Mashariki, pamoja na kozi fupi za ujuzi mbali mbali katika IT(information Technology),jiunge na magroup ya Whatsapp ya MAXPO Tanzania  Maximize your potential 



8 comments:

  1. ufaulu wangu ni four ya 27 lakini ni art je naweza kujiunga

    ReplyDelete
    Replies
    1. Mi sijafika form4 nawezaj kupata formu yakujiunga namba yang ni hii0629780952

      Delete
  2. Mimi sijafika sekondari na ninahitaji hiyo kozi ya kompyuta je sina sifa?

    ReplyDelete
  3. Je kama nina ujuzi wa computer lakini sijafika secondary na nahitaji kujiendeleza kielimu je nitapata nafasi

    ReplyDelete
  4. Nimeishia form four he naweza kusoma diploma

    ReplyDelete
  5. Nmeishia form four nmepata c moja na d moja naweza nkapata nafasi ya kujiunga

    ReplyDelete
  6. Naomba kujua vigezo na vyuo vinavyotoa kozi za nutrition kwa hapa Tanzania nikiwa na Elimu ya cheti NTA LEVEL 4 YA COMMUNITY HEALTH PROGRAM GPA 3.4 pia o-level Nina D 6 flat kwa masomo ya art ikiwemo biology

    ReplyDelete
  7. Mimi matokeo yangu ya kidato Cha nne nilipata division four ya27 je naweza kusoma it chuo Cha serikali naomba majibu



    ReplyDelete